Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,210
- 40,652
Ndiyo mkuuAfadhali
Ndiyo mkuuAfadhali
Tunaingia lindo 0000 kamili hapo kwahiyo jtatu haiko mbaliKesho j3![]()
J3 ina kiherehere cha ajabu sijapata ona
Ila kesho ni uhuru dayTunaingia lindo 0000 kamili hapo kwahiyo jtatu haiko mbali


😀😀😀dec 16??Ila kesho ni uhuru day![]()
Karibu sana mkuuNawasalimu walinda jukwaa wote
Tupo mkuuNawasalimu walinda jukwaa wote
ndio waingereza kesho ndo walichukua kila kilichokua chao..dec 16??

Sawa mkuu historia nilisoma hadi darasa la 4,hiyo topic ya wao kuondoka itakuwa ilikuwa darasa la 6 hukondio waingereza kesho ndo walichukua kila kilichokua chao..![]()
So kesho pia ni mapumzikoSawa mkuu historia nilisoma hadi darasa la 4,hiyo topic ya wao kuondoka itakuwa ilikuwa darasa la 6 huko
waliondoka tarehe kama ya leo, 9 Dec ni siku walikata tamaaSiku yenye usingizi mwingi asubuhi 😡😡😡J3 ina kiherehere cha ajabu sijapata ona
Mwili wote unakuwa mzito kama ulibebeshwa furushi la mawe jana yakeSiku yenye usingizi mwingi asubuhi![]()
Kwahiyo kumbukumbu itafanyika pale Airport dasalama mkuu😀😀😀So kesho pia ni mapumzikowaliondoka tarehe kama ya leo, 9 Dec ni siku walikata tamaa
HakikaSiku yenye usingizi mwingi asubuhi 😡😡😡
Wakati ijumaa kuamkia jumapili,usingizi saa 0430am unakuwa umeishaMwili wote unakuwa mzito kama ulibebeshwa furushi la mawe jana yake
Anakuja mkuu