Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Bilashaka wewe ni mod, haiwezekani uweze kubadilisha I'd kama unabadilisha mashatiUvivu wa nini.?

Bilashaka wewe ni mod, haiwezekani uweze kubadilisha I'd kama unabadilisha mashatiUvivu wa nini.?

SawaWatching
Gemin Man 2019
By will Smith
Aaah huu mzigo upo tayari umeachiwa..Watching
Gemin Man 2019
By will Smith
Lipia online mzee.. au uchukue kopi za kichinaAaah huu mzigo upo tayari umeachiwa..
Njoo tuchek wote..Sawa
Connection only that matterBilashaka wewe ni mod, haiwezekani uweze kubadilisha I'd kama unabadilisha mashati![]()
Hapana ntausubiri Hadi uende viral, series ya Hanna, na Treadstone ndo nataka nizilipie nipate hdLipia online mzee.. au uchukue kopi za kichina
Good.. Ma-Cracker wanafanya yao. Kurahisisha maisha ya watoto wa wanyongeHapana ntausubiri Hadi uende viral, series ya Hanna, na Treadstone ndo nataka nizilipie nipate hd
Sana aiseeee,siye tutawachangia bando tuGood.. Ma-Cracker wanafanya yao. Kurahisisha maisha ya watoto wa wanyonge
, box office najaua huwa hawahesabu Kama na huku Ni sokoniMWAKINYO AMPIGA MFILIPINO KWA POINTI: Pambano la Raundi 10 limemalizika, ushindi ukienda kwa Mtanzania Hassan Mwakinyo akimpiga Arnel Tinampay kutoka nchini Ufilipino kwa pointi.
Jaji wa kwanza amtoa 97-93 , Jaji wa pili akatoa 98-92 na Jaji wa tatu akatoa 96-96.
Nimeamua kutembelea kwa miguu toka shamba la Bibi mpaka nyumbani kupinga hayo matokeo,walinzi mkiniona mniache tu
Main card limekuwa la kiboya sana,bora ya utanguliziHeavy weight ndiyo tamu hizi za hawa jamaa hazinogi
Duuh aisee, jamaa kwa usomaji huo katisha
Nawaonea huruma Netflix wakatengeneza ma siriz wee afu tunayapakua bure torrentsSana aiseeee,siye tutawachangia bando tu, box office najaua huwa hawahesabu Kama na huku Ni sokoni
Main card limekuwa la kiboya sana,bora ya utangulizi
La Mwakinyo liwewakera sana watz pale hasa matokeo yake, nikama yalikuwa nikwaajili ya maslahi mapana ya taifaHayo Mapambano mimi yamenishinda kabisa
Mi naiangalia mapema kesho asee..!Watching
Gemin Man 2019
By will Smith