Na mimi nataka tuzo😉Denvers! Nakuandalia Tuzo yako....lindo linaimarika.
Mkuu oa sasa uachane na hizo movieNaona uvivu kuangalia.. nilikua nachek GOT nikashikwa na usingizi.. nataka kulala usingizi haupo

Salama kipenzi. Una sukari uniazime?
Maduka yameshafungwa huku kwetu.


Uswahilini raha sana!Ndo ukubwa huo, sasa ni wakati wa kuwa na familia uachane na hayo ma-movieAma kweli mambo yanabadirika.. leo hii saa 4 mm nasinzia ata muvi nashindwa tazama!!

haki umenichekesha, kwani weekend una mtoko
![]()


Na wewe umenichekesha kwani hizo nywele hazivunwi mpaka kuwe na mtoko?Zaniliwaza baada ya kuachwa na AsteliaNdo ukubwa huo, sasa ni wakati wa kuwa na familia uachane na hayo ma-movie![]()
Uvivu wa nini.?Uvivu uvivu tu
Haya matokeo ya Mwakinyo lazima CCM imehusika!! Dah


Ni wivu tu (In Gwaji boy's voice)