JamiiForums Usiku wa manane
Asubuhi imefika
Saa kumi na mbili, jogoo ameshawika, kokoliko kokoo
Kokoliko wowo, yawee
Wafanyakazi wanaenda maofisini
Wauza sokoni, wanaenda soko kuuza
Watoto wa shuleni nao wameshapendeza
Wanaenda shuleni kutengeneza maisha ya kesho
Wafanyabiashara wanaenda biasharani
Wajanja mitaani, wanasukuma mikokoteni
Mimi maskini niende wapi?
Nianze wapi, nitamalizia wapi?
Kazi sina, deal yoyote mimi sina
 
Back
Top Bottom