Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Sawa, vzrKuzimua lazima mkuu.
Sawa, vzrKuzimua lazima mkuu.
Nawaonea huruma Netflix wakatengeneza ma siriz wee afu tunayapakua bure torrents


Na mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME😉Connection only that matter
Hahahaaa hata mm nilikua najua ni me.. wasiliana na UongoziNa mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME😉
Na mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME![]()
Na mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME![]()
u have fooled us all, Ila bila shaka sasa huko pm Mambo ni
Unayo tayariNa mimi nataka tuzo![]()
Kila nikija online haupoBilashaka wewe ni mod, haiwezekani uweze kubadilisha I'd kama unabadilisha mashati![]()

Kuna mwanamke mwenzio pia alinambia we ni MENa mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME![]()
Ongeza na ndizi mbivu.Kuna habari gani usiku huu? Nimekunywa Nyagi, nakula nanasi na ubwabwa nijaribu kulala! Naona kama vile tumbo linaanza kuimba nyimbo sizielewi.....
Konyagi+wali haha.. That's combination is quite interesting. Utaumaliza usiku Salama kweli mkuu bila tumbo kuzingua?Kuna habari gani usiku huu? Nimekunywa Nyagi, nakula nanasi na ubwabwa nijaribu kulala! Naona kama vile tumbo linaanza kuimba nyimbo sizielewi.....
Unataka akakeshe chooni huku joto la mwili likimpanda miserably 😂😂😂Ongeza na ndizi mbivu.
😊😊😊😊ndicho anachotafutaUnataka akakeshe chooni huku joto la mwili likimpanda miserably 😂😂😂
Leo ndo nimejua.. Why were you behaving like a man?Na mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME😉
Halafu mida hii humu panapwaya sana.Usingizi wa kutafuta....Hauji