Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Na wewe nimekuchekesha?
Nashukuru
Nashukuru
akili zako unazijuaga mwenyewe
akili zako unazijuaga mwenyewe
Hivi bagia hupikwaje ?badilisha maswali, utabakia mwenyewe humu
Hivi bagia hupikwaje ?
Sawa. Nije lini ?Uje nikufundishe
Hivi kati ya masikio na pua kipi hufanya Miwani ikae mahala pake ?Uje nikufundishe
Sawa. Nije lini ?
Hivi kati ya masikio na pua kipi hufanya Miwani ikae mahala pake ?
Mia.Ukiamka
Ongeza sauti sikusikii,unasema ?
Hivi kati ya Yai na kuku kipi kilianza ?
Sijambo mzee mwenzangu!Hujambo
Nimejaa tele kama pishi la mchele.
Nimekumiss ujue![]()
Akili yangu nyembamba haijajua methali...tafadhali nambie maana ya kauli yako hiyoUtambi umemeza koroboi.Usiku mwema

Unaanza pindi unapohisi usingizi!Naomba kujua usiku wa manane huanzia saa ngapi?


KukuHivi kati ya Yai na kuku kipi kilianza ?
Kuku alianzaje mpaka akawepo ?Kuku
Shukrani mpendwa!Karibu