JamiiForums Usiku wa manane
Unajua kama kuna mambo yasiyo wezenakana na kuyafikiria yasiyo wezekana ni uvivu wa kufikiri na kupoteza muda.

Sikuuliza lile swali lengo nipate jibu bali kuona kwa namna gani tunafikiri.

Jibu la swali lako au hoja yako ni : Siwezi kujiuliza swali hilo sababu hakuna kinyume chake wa la zaidi ya hilo. Vipi nijiulize kwa kile kisichowezekana ?

Umehoji vizuri kaka,tuko pamoja.
Ahsante sana mkuu.
Hakuna kesho
 
Unaweza kuiona
Najua huwezi kuthibitisha hili.

Embu tupe faida unawezaje kuiona kesho ?

Kuna kitabu fulani niliwahi kukisoma au nilisoma mahali fulani kama Sio Wiliam Shakespeare basi Nostra Damus mtu huyo alikuwa amepewa lakabu ya "The Man who saw Tomorrow".

Hivi kweli huyu mtu aliwahi kuishi hapa duniani ?
 
Back
Top Bottom