Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Kesho ni illusion mkuu. Hakuna kitu kama hikoUnaweza kuiona
Kesho ni illusion mkuu. Hakuna kitu kama hikoUnaweza kuiona
Vipi uiogope wakati huijui ?
Unatakiwa uiogope siku uliyopo,kwani kesho yako si yako mpaka uidiriki na iliyo kupita sio yako,bali yako ni wakati uliopo sasa.
Ahsante sana mkuu.Unajua kama kuna mambo yasiyo wezenakana na kuyafikiria yasiyo wezekana ni uvivu wa kufikiri na kupoteza muda.
Sikuuliza lile swali lengo nipate jibu bali kuona kwa namna gani tunafikiri.
Jibu la swali lako au hoja yako ni : Siwezi kujiuliza swali hilo sababu hakuna kinyume chake wa la zaidi ya hilo. Vipi nijiulize kwa kile kisichowezekana ?
Umehoji vizuri kaka,tuko pamoja.
Najua huwezi kuthibitisha hili.Unaweza kuiona
Nimesema kitu. Tuko pamoja. Hivi "Ronny" maana yake nini ?Nilikuwa nakuchokoza useme kitu. Asante z
Kesho ipo ila kuiona ni majaliwa na huwezi kuiona kesho kwa maana ya kuilezea leo.Ahsante sana mkuu.
Hakuna kesho
Katika maneno ambayo huwa yananitatiza sana ni hili tamko "illusion" ni ipi maana yake na ni ipi mipaka yake ?Kesho ni illusion mkuu. Hakuna kitu kama hiko
Nimesema kitu. Tuko pamoja. Hivi "Ronny" maana yake nini ?
Usisahau kunipa jibu atakalo kupa.Sijui...nitamuuliza mama
Hivi nikikuuliza wewe ni nani ? Utanijibu vipi ?Sijui...nitamuuliza mama
Hivi nikikuuliza wewe ni nani ? Utanijibu vipi ?
Ndi lindo hunoga kwa mtindo huu. Nasubiri jibu.Shida yako kunitoa usingizi na haya maswali fikirishi?
Shida yako kunitoa usingizi na haya maswali fikirishi?

Ndi lindo hunoga kwa mtindo huu. Nasubiri jibu.
Kunywa kahawa utoe usingizi.
Hicho muhimu.Nalala mimi, usije nisumbua asubuhi wataka kifungua kinywa
Sijui...nitamuuliza mama
akili zako unazijuaga mwenyeweHewa mkuuHivi ni kitu gani humfanya mtu au kiumbe hai kife ? Yaani KIFO hutegemea nini ?
Hivi ni kitu gani humfanya mtu au kiumbe hai kife ? Yaani KIFO hutegemea nini ?
Ufafanuzi kidogo kaka,nipate kuelewa.Hewa mkuu