Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Mie sio mtukutu kabisa bibieAcha utukutu
Mie sio mtukutu kabisa bibieAcha utukutu
Ronny2010
Naona uwepo wako
Jiulize pia ingekuaje kama tusingewekewa kusahauHivi ingekuwaje kama tungekuwa tunaiona kesho yetu ?
Naiogopa sana kesho yanguHivi ingekuwaje kama tungekuwa tunaiona kesho yetu ?
Lindo li karibu kuanza
Uzma ni suala tata kidogoNashukuru. Mzima?
Unajua kama kuna mambo yasiyo wezenakana na kuyafikiria yasiyo wezekana ni uvivu wa kufikiri na kupoteza muda.Jiulize pia ingekuaje kama tusingewekewa kusahau
Hivi ingekuwaje kama tungekuwa tunaiona kesho yetu ?
Vipi uiogope wakati huijui ?Naiogopa sana kesho yangu