JamiiForums Usiku wa manane
..
IMG-20191107-WA0003.jpeg
 
Jiulize pia ingekuaje kama tusingewekewa kusahau
Unajua kama kuna mambo yasiyo wezenakana na kuyafikiria yasiyo wezekana ni uvivu wa kufikiri na kupoteza muda.

Sikuuliza lile swali lengo nipate jibu bali kuona kwa namna gani tunafikiri.

Jibu la swali lako au hoja yako ni : Siwezi kujiuliza swali hilo sababu hakuna kinyume chake wa la zaidi ya hilo. Vipi nijiulize kwa kile kisichowezekana ?

Umehoji vizuri kaka,tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom