Duh Kuna watu mna hatariTuwaamsha wengine weekend yote hii watu wanalala!
Mkeo au mchepuko?Nimetoka kupiga kimoja tuko half time tunavuta vuta muda turudi tena uwanjani
Mimi ni Ishu ya Tundu lissustess mkuu,,nimeenda kitandani saa sita nikashangaa dari hadi saa saba nikatoka kuja sebleni,nikawasha laptop,,nikacheki ytube nikachoka,nikaangalia movie nikachoka,nikaingia IG,FB,na Twitter bado nikachoka,saa kumi hii nakumbuka mbona bado kuna JF cjaingia?,,kuchungulia tu nakutana na uzi huu,nikaona hapa ndo pakutiririka na mastress yangu,huyu baba kutushikilia patamu kweli kweli,maana nina zaidi ya miezi mitatu kila ninachofanya hakiendi,,nikienda kwenye biashara zangu kila mwez unaokatika acc inapungua more than million bila matumizi yyt ya kimaendeleo,wakati nasota kuzunguka huku na huko ili acc isome milion zaidi kwa mwezi unaofuata najikuta napunguza million nyingine tena.ku*amak* jiw* katutom** mbaya kabisa.ndo ivyo hatuna namna,,nahisi hadi amalize miaka yake yote 10 nitakua nafanya kazi ya kufagia barabara manispaa,maana msingi wote utakua ushateketea.
mkuu kuna watu wanatabia ya kupenda kitu hadi wanapitiliza,,yy hata ufanye kosa gani bado atakusifia kuwa upo sahii,,nahisi hata auwawe baba na mama yake ataona wazazi wake ndo walikua na makosa na sio kiongozi wake huyo,wanasapoti upuuzi wwt unaofanyika,hata akitambua ni upuuzi bado atasapoti ili tu kulinda chama na kiongozi wake,,,,huu ujinga nahisi Tz ndo kinara kwa kuwa na wananchi wajinga kupilizaMimi ni Ishu ya Tundu lissu
Bado siamini kuna binadamu wakatili kiasi hichi
Hivi kuna wapumbavu siku akifa ndugai wataandika rest in peace RIP ?
Teh ...mk
mkuu kuna watu wanatabia ya kupenda kitu hadi wanapitiliza,,yy hata ufanye kosa gani bado atakusifia kuwa upo sahii,,nahisi hata auwawe baba na mama yake ataona wazazi wake ndo walikua na makosa na sio kiongozi wake huyo,wanasapoti upuuzi wwt unaofanyika,hata akitambua ni upuuzi bado atasapoti ili tu kulinda chama na kiongozi wake,,,,huu ujinga nahisi Tz ndo kinara kwa kuwa na wananchi wajinga kupiliza

Na update window hapa,buku tu gb 10 hahahaaa ttcl kuchelehaaaaaa mm nipo nadownload movie na bando la toboa ttcl
NjooHata sielewi nimejikuta tu sina usingizi mpaka asa hivi