Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
Hata sielewi nimejikuta tu sina usingizi mpaka asa hivi
Nimetafuta sababu ya kuwa macho mpaka muda huu nimekosa.Hata sielewi nimejikuta tu sina usingizi mpaka asa hivi
Wewe itakuwa mapenzi Ndio yanakusumbuaHata sielewi nimejikuta tu sina usingizi mpaka asa hivi
Mhmh chukua earphones weka folder la mzika slow music usipo lala hapo basi unataka kuwangaHata sielewi nimejikuta tu sina usingizi mpaka asa hivi
Utakua mwanafunzi mwanachuo wewehaaaaaa mm nipo nadownload movie na bando la toboa ttcl
Turudi kule sio kwenye forum yetu?J.f usiku wa manane..

Bado una matumaini na taifa lako unaweza ukawa chiziNawaza taifa langu kuifunga Algeria![]()
Hii ikitokea litakua ajabu la saba la duniaNawaza taifa langu kuifunga Algeria![]()