JamiiForums Usiku wa manane
Teh teh..Shida sana..Unafika sokoni kuku wanakuangalia halafu wanatabasamu..Wanajua huwezi kuwachukua..Zamani kipindi kama hiki walikuwa na masikitiko makubwa..

Sasa hivi kama umefuga kuku, mgeni akija hawakimbii, tena wanaweza hata kuja kuchezea miguuni.
 
Back
Top Bottom