Marvelous King
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 662
- 1,293
Leo mpaka counter waseme zimeisha,hata mtaroni nitalala


starehe zako uwaletee shidah wengineLeo mpaka counter waseme zimeisha,hata mtaroni nitalala


starehe zako uwaletee shidah wenginestarehe zako uwaletee shidah wengine
Poa mkuuWala wahawaati shida Mkuu ndio raha ya urabu...
Sijui, nieleweshe.
Wengine tulikuwa makazini kama kawaida
Poa mkuu
Kwa Christians na Pagans ilikuwa ni off day, sikukuu ilikuwa kwa Muslims.
Kuna vitengo havina mapumziko.
Asante
Dah, jamaa unankumbusha kipindi kile nkiwa chuo nilivokua napiga mitungi maeneo ya Ubungo External, dah. Yaan pombe si salama kabisaTunakula eid kama hivi MkuuView attachment 1118958
Dah, jamaa unankumbusha kipindi kile nkiwa chuo nilivokua napiga mitungi maeneo ya Ubungo External, dah. Yaan pombe si salama kabisa
Kila kitu kwa kiasi Mkuu
Nilkokua naelekea ni kubaya. Kuna siku nimepiga bia za 40,000. Asubuh saa tatu had saa 4 usiku. Dah, hoi, yaan, afu nilkua mbinafsi naenda mwenyew ,, nkiwa tungi nampigia mwana wangu mmoja iv anachomoka hostel ananfuata. Dah,
Dah Mkuu wewe kweli ulizidiaha ,unajua kila kitu ukifanya kwa kiasi ni sawa ila ukizidisha ndio shida zinaanzia hapo...
Piga maji mkuu. Sema hiyo kitu ukia adicted inaleta noma. Inakua inakuwasha unataman uipate. Afu inaambatana na umalaya
Poa poa Mkuu,
Kuna jamaa hapa amekuja na demu mkali balaa,naona nimeanza kumpenda, nasubiri tu jamaa aanze kulewa nimvue huyu kambale.... ubaya ubaya tu...
Ahahahah. Umeona sasa pombe anaambatana na nani?! But kumbuka ndom mwanangu,
Nipo vizuri Mkuu, siwezi kuuza mechi
Aisee ni noma Mkuu.Dah, kweny mabar kuna madem wakali balaa. Sema tangu nimrudie Mungu nshaacha. Kuna siku nusra niukwae
Pamoja mkuu. Watu wa mujini nyie.Aisee ni noma Mkuu.
Pamoja mkuu. Watu wa mujini nyie.
Asante ya nini hapo?