Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Naona account bado hazijasoma. Watakuwa wamelalaWale Wasee wakukesha weekend hii tunakutana wapi
Naona account bado hazijasoma. Watakuwa wamelalaWale Wasee wakukesha weekend hii tunakutana wapi
Mwili unaoza harakaHivi kulala sana ni ugonjwa?
Huu utafiti utuache tuKunautafiti umefanyika,wasiolala sana wako hatarini kufa mapema.....
ha ha ha ha haHuu utafiti utuache tu
Lindo limepoaNjoooni kwenye Lindo..
Watu wako chalii...Lindo limepoa
Wanaoza. . . .Watu wako chalii...
ha ha ha ha ha,kuna utafiti unasema sisi tunaokesha kama bundi tutakufa mapemaWanaoza. . . .
Utafiti wao feki huo mkuu, ngoja sisi tuendelee kulijali lindoha ha ha ha ha,kuna utafiti unasema sisi tunaokesha kama bundi tutakufa mapema
ha ha ha ha haUtafiti wao feki huo mkuu, ngoja sisi tuendelee kulijali lindo
Afande, nipoRoll call time
Nipo macho boss...Nimepita kuangalia, loo kumbe mnalala, kuanzia kesho wote nimewafukuza kazi!