JamiiForums Usiku wa manane
Karibu mume, lisiwe gumu lakini si unajua mi mkeo kichwa maji
Kwenye pitapita zangu nimewahi kukukuta sehemu unatema madini ya dini..Nadhani hili halitakuwa gumu kwako..

Wewe ni binti wa kilokole..Una uzuri wa asili unaovutia na kushawishi..Kutokana na uzuri wako ulioambatana na ngozi nzuri ya kuvutia, nakupa dili la kufanya tangazo la vipodozi vyangu ambavyo hujawahi hata kuvitumia..

Kwenye tangazo unatakiwa useme uzuri wa ngozi yako unatokana na matumizi ya vipodozi vyangu..

Ukifanya hilo tangazo utakuwa unatenda dhambi??
 
Kwenye pitapita zangu nimewahi kukukuta sehemu unatema madini ya dini..Nadhani hili halitakuwa gumu kwako..

Wewe ni binti wa kilokole..Una uzuri wa asili unaovutia na kushawishi..Kutokana na uzuri wako ulioambatana na ngozi nzuri ya kuvutia, nakupa dili la kufanya tangazo la vipodozi vyangu ambavyo hujawahi hata kuvitumia..

Kwenye tangazo unatakiwa useme uzuri wa ngozi yako unatokana na matumizi ya vipodozi vyangu..

Ukifanya hilo tangazo utakuwa unatenda dhambi??
Ni dhambi ndio maana ni uongo utakuwa unasema
 
Back
Top Bottom