JamiiForums Usiku wa manane
Hapo sina timu. ....
Usiniulize yangu ipi. ...hata sijui tuko wapi kwenye table. ...

Nitaisubiria, maana walifanya waingereza wauze magazeti sana. ..
Ha ha ha

Ni fainali ya UEFA champions league kati ya Liverpool na Totenham,itafanyika tarehe 1 mwezi June,kwenye uwanja wa Wanda Metropolitan,jijini Madrid.

Ni shabiki wa timu ipi kati ya hizo dada ke
 
Back
Top Bottom