Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
Ka wewe ni bolt mi ni mosquito hahaBolt.....
Ka wewe ni bolt mi ni mosquito hahaBolt.....
Kaka mdogo una aise wapi?
Haha tufunzane swahili pliz,Dadeki ndo?
Dadeki ni kama kushangaa kitu au jambo ni kifupi cha neno KudadekiHaha tufunzane swahili pliz,Dadeki ndo?
Latty anatafuta best wa ki tzii....
Mimi bahati mbaya ni Chinese....teh teh
Thnx unaeza tamka ama unatumia tu when writing?Dadeki ni kama kushangaa kitu au jambo ni kifupi cha neno Kudadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
i believe hii ni yanguUnajua jf kubwa sana. Yaani mfano wake ni kama nchi,au mkoa,au wilaya,au kata,au tarafa,au kitongoji,au mtaa. Tunaweza tusijuane kabisa miaka na mikaka.
Nipo .....
Latty anatafuta best wa ki tzii....
Mimi bahati mbaya ni Chinese....teh teh
i believe hii ni yangu
Yente bablaiMzee mwenyewe, vipi za huko kwenu
Super hero daddy
Naona unapiga kimoja --- halafu ukipumzika una kuja kuchungulia Jf .... wakubwa mna faidi Sana ....sijui kwanini nachelewa mno kukua !!!Hahaha upo upo kidogo naibia ibia![]()
Vyote waweza kuvitendaThnx unaeza tamka ama unatumia tu when writing?
Haha hao chinese ndo tunawataka haha huku wako wengi sana hadi kunawatoto wengi half chinese wamezaliwa,shida ni baada ya kuekana mimba hawaonekanagi,hadi nashuku wanaeza jaa sana juu nairobi wako more than 50K haha imagine mmoja akikueka mimba na wote wanafanana hahaLatty anatafuta best wa ki tzii....
Mimi bahati mbaya ni Chinese....teh teh
Aibu nimeona mimiNaona unapiga kimoja --- halafu ukipumzika una kuja kuchungulia Jf .... wakubwa mna faidi Sana ....sijui kwanini nachelewa mno kukua !!!
Sent using Jamii Forums mobile app



Kivipi ?

Hahaha upo upo kidogo naibia ibia![]()
Lol - acha basiii ... haya karibu lindoniAibu nimeona mimi
Ningekuwa mkubwa nisingeona aibu.