Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,650
3 zote,wameshinda 3-0
3 zote,wameshinda 3-0
Naheshimu viapo vya watu mkuu. Hata chakwangu ambacho sio rasmi nakiheshimu piaHata mimi najua hilo " lakini hapa nimeona dalili za kuzidisha zaidi ... nikajikuta napata shaka .... wajua watu ambao ni ma-decent ndio wanao ongoza kwa kutuvunjia ndoa zetu na wake zetu ....
So nakuogopa sana mkuu --- hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app


ili kije kuwa rasmi.Haha sasa kabla hakijawa rasmi siunaweza kufanya tukio hapo ... likaja kusababisha zahma kubwaNaheshimu viapo vya watu mkuu. Hata chakwangu ambacho sio rasmi nakiheshimu piaili kije kuwa rasmi.
Usiwe na shaka na mimi.
Aise " hongera kwao ... nani anayeongoza kwa mabao uefa !?3 zote,wameshinda 3-0
Hapana mkuu sio mimi. Rationality ni priority kwangu.Haha sasa kabla hakijawa rasmi siunaweza kufanya tukio hapo ... likaja kusababisha zahma kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lewandooyawhyskey
Duuh namimi leo usinhizi umekata, natamani kama nipigane vile ila something tells to to be calm..Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Haya bwana ... ngoja niamini tu haya maneno ya nyuma ya keyboard ...imani huponyaHapana mkuu sio mimi. Rationality ni priority kwangu.
Upigane tena !!? Yame kukuta yapi tena usiku huu !!?Duuh namimi leo usinhizi umekata, natamani kama nipigane vile ila something tells to to be calm..
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh jamaa anatisha ..ana goli ngapi mpaka sasa !!? Na anaye mfuatia ni nani !?Lewandooyawhyskey
Au mkuu una file langu?Haya bwana ... ngoja niamini tu haya maneno ya nyuma ya keyboard ...imani huponya
Sent using Jamii Forums mobile app


Hahaa " wewe kuwa mpole tu hivyo hivyo .. maana falsafa yangu ya maisha huwa inaniambia kwamba maisha ya binaadamu ni kama shilingi tu " ....lazima iwe na sura 2Au mkuu una file langu?![]()
Duhh jamaa anatisha ..ana goli ngapi mpaka sasa !!? Na anaye mfuatia ni nani !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise ... huu mpambano ni matata mimi ni fan wa messi ila this time namuombe lewandowisky achukue hicho kiatu ...asante mkuu
Ni kweli japo unaweza kudhani kuwa upande wa pili kuna kifaru lakini kumbe sio bali kuna swala au simba.Hahaa " wewe kuwa mpole tu hivyo hivyo .. maana falsafa yangu ya maisha huwa inaniambia kwamba maisha ya binaadamu ni kama shilingi tu " ....lazima iwe na sura 2
Sent using Jamii Forums mobile app

Anachukulia wapi mkuu wakati anatoka kwa kula kichapo pale kwao Allianz Arena hapo baadae usiku dhidi ya LiverpoolAise ... huu mpambano ni matata mimi ni fan wa messi ila this time namuombe lewandowisky achukue hicho kiatu ...asante mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa Liverpool ashinde hiyo mechi !? ... akishinda ni dai dada yanguAnachukulia wapi mkuu wakati anatoka kwa kula kichapo pale kwao Allianz Arena hapo baadae usiku dhidi ya Liverpool