Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mimi nilikuwa nasoma sana hadithi za mapenzi kwenye magazeti ya Sani, Amba, Tabasamu na Bongo, na vijarida vidogo vidogo. Kwa hiyo kichwani mashairi yalikuwepo.


ulikuwa mtundu, mimi hivyo vijarida nilikuwa nasoma kwa kujiiba sanaaa maana nikionwa ni shidaSent using Jamii Forums mobile app


