Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,079
- 124,602
[emoji3][emoji3][emoji3] ulikuwa mtundu, mimi hivyo vijarida nilikuwa nasoma kwa kujiiba sanaaa maana nikionwa ni shidaMimi nilikuwa nasoma sana hadithi za mapenzi kwenye magazeti ya Sani, Amba, Tabasamu na Bongo, na vijarida vidogo vidogo. Kwa hiyo kichwani mashairi yalikuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app