JamiiForums Usiku wa manane
kingekuwa kinasoma kingekuumbua kama kilee ulichokuwa unakikopia kwenye mine boy

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo huyo huyo, hayo majarida alikuwa hasomi, hata akiyaona anasoma vikatuni tu.

Sasa mimi hadi kuna kitabu cha Willy Gamba, kinaitwa Njama niliwahi kuokota mistari mule, kuna dada anaitwa Veronica alisifiwa sana mule.

Mimi nakariri naenda kumshushia sifa.
 
Ndo huyo huyo, hayo majarida alikuwa hasomi, hata akiyaona anasoma vikatuni tu.

Sasa mimi hadi kuna kitabu cha Willy Gamba, kinaitwa Njama niliwahi kuokota mistari mule, kuna dada anaitwa Veronica alisifiwa sana mule.

Mimi nakariri naenda kumshushia sifa.
wewe ni shida, I hope umeacha uhuni huo wa kukopikopi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
455207835_182757~2.jpeg
 
Back
Top Bottom