Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Habari yako Don, umeniandalia zawadi gani maana huwezi kunisubiria hivi hivi tu mikono mitupuNimekusubiri eeh, karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari yako Don, umeniandalia zawadi gani maana huwezi kunisubiria hivi hivi tu mikono mitupuNimekusubiri eeh, karibu.
Habari yako Don, umeniandalia zawadi gani maana huwezi kunisubiria hivi hivi tu mikono mitupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hana zawadi njoo uchukue huku zawadi yo yote unayotaka bana....Mkono mtupu haulambwi ati !!!Habari yako Don, umeniandalia zawadi gani maana huwezi kunisubiria hivi hivi tu mikono mitupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hebu tafuta tafuta bwanaYaani mpaka unakuja points zangu zimesha-evaporate.
Umeona eeh? Nakuja mbioKama hana zawadi njoo uchukue huku zawadi yo yote unayotaka bana....Mkono mtupu haulambwi ati !!!




Kesho asubuhi na mapema ukatengeneze nywele kwanza...Halafu mengine yatafuata



Ya kusukia inahusika ujueKesho asubuhi na mapema ukatengeneze nywele kwanza...Halafu mengine yatafuata
View attachment 1037331