JamiiForums Usiku wa manane
Unakubalije kuachwa bablai? Kuwa king'ang'anizi
Aaah wapi... madada wa mjini wakikuacha hawa kubali matokeo ..ukiendelea kumfuata fuata hakawii kukupigia kelele za mwizi mbele ya kadamnasi .. waweza kukuta amepata li sponcer huko ..wewe unazidi kumganda tu anaona kwamba unambania riziki (wenyewe huwa wanasema usini haribie ugali wangu ) so ukiendelea kumganda anakupigia kelele za mwizi kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom