Inapendeza kusikia hivyo. Wadau leo naona bado wamesinzia
Chief,waite wale warembo aisee,lindo lime zubaa kinoma noma.
Inapendeza kusikia hivyo. Wadau leo naona bado wamesinzia
Hamna DJ kuna walinzi
Haina dazi bablai mimi nipo hapa mpaka kokorikoLeo siko poa siwezi kuweka mbungi, nyie mlio fua mashuka usiku endeleeni kukiweka
Sent using unknown device



Leo walinzi wameenda kuchaji simu mapema sana. Hakukuwa na mtu hapa leo...Mpo walinzi?
Hahahaha sijui kulikua na nini hataLeo walinzi wameenda kuchaji simu mapema sana. Hakukuwa na mtu hapa leo...
Jumapili. Kesho kazini...Ni vizuri kupumzika na kujiandaa vizuri.Hahahaha sijui kulikua na nini hata