Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404






Leo battery yangu ipo low njoo nipunguzie charge

Usimkimbize leo aje anichaji na mimiHia yu a. Denti wa kujifanya. Msomi wa wasomi![]()
Nawatch Westham vs Liverpool nikimaliza itategemea na matokeo. Liverpool ikifungwa najitoa JF kwa muda, i cant take a loss.
Sijamkimbiza mkuu. Naona leo simu sijui iko sawa. Ishu itakuwa homework pengine. Maisha ya madenti si unayajua? Hawamalizagi vimatatizo matatizoUsimkimbize leo aje anichaji na mimi



Dah asee inaboa kinoma natamani niende offline kabisa nisisikilize hata redio mpaka may ndio nirudi hewani.Kop!
Nimecheka kwa sauti hii comment.
We will come back and rise to an occasion.
Alafu anachungulia tu hataki kujaSijamkimbiza mkuu. Naona leo simu sijui iko sawa. Ishu itakuwa homework pengine. Maisha ya madenti si unayajua? Hawamalizagi vimatatizo tatizo![]()
