JamiiForums Usiku wa manane
Hizi kesi sasa....
Acha nijibu basi.

Bilauri ni Me.
Bakuli ni Ke.

Maji yakishamwaga kwenye Bakuli ni ngumu kuyachota ukapata asilimia zako zote ulizomimina. ..kwani Bilauri nyingi zimeshamwaga Maji yake kwenye hilo Bakuli. ...
Asa ukiniacha na maswali majibu kuyapata ni ngumu. Hata ile parable imekutake time hadi leo sina jibu.

Ulishasahau.
 
Hizi kesi sasa....
Acha nijibu basi.

Bilauri ni Me.
Bakuli ni Ke.

Maji yakishamwaga kwenye Bakuli ni ngumu kuyachota ukapata asilimia zako zote ulizomimina. ..kwani Bilauri nyingi zimeshamwaga Maji yake kwenye hilo Bakuli. ...
Sasa ningeipata ile parable ninge compare hapa ningepata kujua kama ni jibu sahihi maana hapa nimebaki sielewi tena.

Unaona madhara ya kuchelewesha jibu? Nimesahau hadi swali sasa jibu halina relevance kwangu tena
 
Kuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.

Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.

Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
 
Back
Top Bottom