Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
What's going on, kama natishika hiviAcha tu. ...

What's going on, kama natishika hiviAcha tu. ...

What's going on, kama natishika hivi![]()
Simba? Yanga?Kabisa. ....unaweza kuona nyekundu. ..wengine wakaona njano

What's going on, kama natishika hivi![]()
Simba? Yanga?![]()
Asa ukiniacha na maswali majibu kuyapata ni ngumu. Hata ile parable imekutake time hadi leo sina jibu.Hamna wala usitishike. ...
Nimeshangaa tu kwa SAUTI
Hapa hamtishi mtu wala nini .... Tangu lini nyekundu mtu akasema njano ?
Hapana chalii siko huko.



Kuna nyapu inakuja kesho natamani ingekuwa leo usiku huu.
I will one day revenge, unless I die before you.
Tamani tuKuna nyapu inakuja kesho natamani ingekuwa leo usiku huu.
I will one day revenge, unless I die before you.

Tamani tu![]()

ntamshindua na mishindo kesho we mwache tu.What's going on, kama natishika hivi![]()


Asa ukiniacha na maswali majibu kuyapata ni ngumu. Hata ile parable imekutake time hadi leo sina jibu.
Ulishasahau.
Hahaha ngoja pakuche kwanza. Tutawaundia kamati CityKop, nimeamka kuwafanyia maombi Arsenal.
Ila radar zinagoma, nahisi imani yangu ndogo sijui.

Sasa ningeipata ile parable ninge compare hapa ningepata kujua kama ni jibu sahihi maana hapa nimebaki sielewi tena.Hizi kesi sasa....
Acha nijibu basi.
Bilauri ni Me.
Bakuli ni Ke.
Maji yakishamwaga kwenye Bakuli ni ngumu kuyachota ukapata asilimia zako zote ulizomimina. ..kwani Bilauri nyingi zimeshamwaga Maji yake kwenye hilo Bakuli. ...![]()


Sasa ningeipata ile parable ninge compare hapa ningepata kujua kama ni jibu sahihi maana hapa nimebaki sielewi tena.
Unaona madhara ya kuchelewesha jibu? Nimesahau hadi swali sasa jibu halina relevance kwangu tena![]()
Hahaha ngoja pakuche kwanza. Tutawaundia kamati City![]()