JamiiForums Usiku wa manane
Hiyo ya kufanya yetu ni kupeana hamasa, ila kimoyo moyo adui lazima umwombee njaa.

Unakumbuka kuna game Leicester anafunga goli la 2 vs City na sisi tunafunga goli la 4 vs Newcastle, watu wanashangilia goli la Leicester badala ya lile la Liverpool mpaka Klopp akawa ànashangaa.
Tukiwa realistic tunachotakiwa kufanya ni ku focus kwenye yakwetu Don, ikitokea wengine wame slip ni juu yao ila sisi lazima tuwe focused kwenye yakwetu.

Hatuwezi eti leo tunakesha kuombea city apigwe na sisi game zetu tunalega lega, utashangaa tu wanatuwashia indicator wanaomba wapite soon
 
Tukiwa realistic tunachotakiwa kufanya ni ku focus kwenye yakwetu Don, ikitokea wengine wame slip ni juu yao ila sisi lazima tuwe focused kwenye yakwetu.

Hatuwezi eti leo tunakesha kuombea city apigwe na sisi game zetu tunalega lega, utashangaa tu wanatuwashia indicator wanaomba wapite soon

Sure man, pamoja.
 
Back
Top Bottom