JamiiForums Usiku wa manane
Kuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.

Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.

Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
Hizi kesi sasa....
Acha nijibu basi.

Bilauri ni Me.
Bakuli ni Ke.

Maji yakishamwaga kwenye Bakuli ni ngumu kuyachota ukapata asilimia zako zote ulizomimina. ..kwani Bilauri nyingi zimeshamwaga Maji yake kwenye hilo Bakuli. ...
Nikizijoin hivi sasa nisome swali na jibu
 
Kuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.

Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.

Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
Labda
 
Ila naona cha muhimu sisi tufanye yetu tu haina haja ya kuombea wengine njaa

Hiyo ya kufanya yetu ni kupeana hamasa, ila kimoyo moyo adui lazima umwombee njaa.

Unakumbuka kuna game Leicester anafunga goli la 2 vs City na sisi tunafunga goli la 4 vs Newcastle, watu wanashangilia goli la Leicester badala ya lile la Liverpool mpaka Klopp akawa ànashangaa.
 
Back
Top Bottom