JamiiForums Usiku wa manane
Sema ila kwa sauti ya chini
"Simba tumefugwa huko Egypt, Ila tumepnga turudi tunashangilia ili watani zetu wajue tumeshinda."


Enzi hizo school ,timu yetu ikifungwa na timu ya shule jirani , tunarudi huku tunashangilia ili isijulikane kwa urahisi kama tumepigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom