Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
ππππhizo ziko mbioni kuanza kutumika.... Tutakuzingatia kwa kuanzia na tuzo ya weekHapana bado. Labda kama kuna weekly au monthly awards ππππ
ππππhizo ziko mbioni kuanza kutumika.... Tutakuzingatia kwa kuanzia na tuzo ya weekHapana bado. Labda kama kuna weekly au monthly awards ππππ
hahaha fikisha kwenye kamati kuuππππhizo ziko mbioni kuanza kutumika.... Tutakuzingatia kwa kuanzia na tuzo ya week
Lindo limepoa kinoma
Mimi nipo mda wote.. 24/7
wamelala leo mkesha mgumu
Unasinzia wewe nakuona πWatu na malindo yao
πππππππaah wapi nilienda Kunywa maji mieUnasinzia wewe nakuona π
unakunywa maji masaa kwa masaa umekua ngamia wewe π€£π€£π€£πππππππaah wapi nilienda Kunywa maji mie
Nimekula mahindi sana sasa kiu chake ni nomaunakunywa maji masaa kwa masaa umekua ngamia wewe π€£π€£π€£
Usile mbegu tena siku nyingine πNimekula mahindi sana sasa kiu chake ni noma
ππππππππππππNazipenda mno mbegu za mahindi Kuacha kutumia ni ngumu Afu ni ya kuchoma jamani, Dar wanayanakshi na ndimu plus pilipili, r chuga wanauza kavu kavu sasa bablaii ukilipata ngumu Afu likakupalia weee Inakua balaaUsile mbegu tena siku nyingine π
Hahaha kwahiyo wewe ndio mnapaka na malimau huko dasalama?ππππππππππππNazipenda mno mbegu za mahindi Kuacha kutumia ni ngumu Afu ni ya kuchoma jamani, Dar wanayanakshi na ndimu plus pilipili, r chuga wanauza kavu kavu sasa bablaii ukilipata ngumu Afu likakupalia weee Inakua balaa
NdioHahaha kwahiyo wewe ndio mnapaka na malimau huko dasalama?