Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
mlinzi ambae hajiongezi a asababisha tupate hasira tukiwa lindoni
mlinzi ambae hajiongezi a asababisha tupate hasira tukiwa lindoni
mlinzi ambae hajiongezi a asababisha tupate hasira tukiwa lindoni
Ingia kwenye browser yako tafuta www.freebasics.com kisha utaiona JamiiForums miongoni mwa huduma nyingine kibaoNpatirn bas wakuu maana mashine ishaanza kukatakata hapaa free basic kale kalink ka jnaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
bahati yake ni mgeni nisingemwelekeza tena 😂😂
bahati yake ni mgeni nisingemwelekeza tena![]()
hahaha sawa chief. Jana umekimbia lakini au ndio ulikua unatucheki kimya kimya?
Naona umerudisha ile iPhone ili sisi wa tecno tuendelee kuteseka kwa wivu 😂😂😂Mgeni njoo.......
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilikuwa naangalia kila mnachoweka.hahaha sawa chief. Jana umekimbia lakini au ndio ulikua unatucheki kimya kimya?
Naona umerudisha ile iPhone ili sisi wa tecno tuendelee kuteseka kwa wivu![]()
Doh sawa mkuu tupo makini kuzingatia sheria 😃
Narudia tena. Ungekuwa unatumia TECNO kama mimi hicho kisimu wala kisingekuwa na kiherehere cha kuweka signature ambayo imebadilishwa manually kama hiyoKhaaaaa mbna hiki kisimu kina kiherehere
kuset signature
Sent from my iPhone using JamiiForums



Jamaa anatesa na iPhone yake. Ngoja na mimi niruhusu TECNO yangu itese sasaNaona umerudisha ile iPhone ili sisi wa tecno tuendelee kuteseka kwa wivu![]()