Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,761
- 15,578
Pole nenda nae taratibu, muelekeze aelewe utamu wa kukaa zizini na ubaya wa kukaa nje ya zizi
Pole nenda nae taratibu, muelekeze aelewe utamu wa kukaa zizini na ubaya wa kukaa nje ya zizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wewe kama mchungaji ni jukumu lako kuhakikisha kondoo wapo salama maana utadaiwaDuuuuu ni ngumu sana, maana hata mchungaji wangu alniambia hakuna haja ya kubisha na mtu asiyetaka kuamin.
Sisi wengine tunakuza imani zetu ili tuanze kutenda miujiza kwa kutumia Neno la Mungu,
Wengine wanaangaika kuchambua yanayokosewa na kuelezewa vibaya ni yapi katka bible.
Soon nitaanza kukemea hata pepo hadi litoke nduki.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mkuu siutakuwa umempoteza kondoo?Duuuuu ni ngumu sana, maana hata mchungaji wangu alniambia hakuna haja ya kubisha na mtu asiyetaka kuamin.
Sisi wengine tunakuza imani zetu ili tuanze kutenda miujiza kwa kutumia Neno la Mungu,
Wengine wanaangaika kuchambua yanayokosewa na kuelezewa vibaya ni yapi katka bible.
Soon nitaanza kukemea hata pepo hadi litoke nduki.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mkuu siutakuwa umempoteza kondoo?
utaenda kujibu nini kwa Sir God?
Nilisemalo wa kuamini na aamin, asiyetaka basii.Lakini wewe kama mchungaji ni jukumu lako kuhakikisha kondoo wapo salama maana utadaiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee chalii vipi ndiyo umeachiwa muda huu, kweli unakosea kuacha lindo tukiibiwa au wafungwa wakitorokaOiiii
Nilikuwepo busy kidogo asee. Lindo najua mpo na hakuna wakuvamia najua mpo gadoAisee chalii vipi ndiyo umeachiwa muda huu, kweli unakosea kuacha lindo tukiibiwa au wafungwa wakitoroka
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mitutu mirefu kama mgambo.Nilikuwepo busy kidogo asee. Lindo najua mpo na hakuna wakuvamia najua mpo gado
Khaa unataka utafuniwe kila sikuNaomben kale kalink ka free basic
Sent from my iPhone using JamiiForums