Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,451
Narudia tena. Ungekuwa unatumia TECNO kama mimi hicho kisimu wala kisingekuwa na kiherehere cha kuweka signature ambayo imebadilishwa manually kama hiyo
Za tangu jana lakini?
mkuu bado mgeni wa juz tu mieZa tangu jana ni njema sana ndugu yangu naona ndo unashika lindo!


