JamiiForums Usiku wa manane
Natoka sebuleni nakunywa maji kidogo mdogomdogo naenda room sasa 13 megapixel nakulaani na vinyamkera viwe juu yako umentoa room kuja kuumwa na mbu sebuleni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Natoka sebuleni nakunywa maji kidogo mdogomdogo naenda room sasa 13 megapixel nakulaani na vinyamkera viwe juu yako umentoa room kuja kuumwa na mbu sebuleni


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwanini unamlalamikia mwanaume mwenzako kuto kukutumia luku?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwanini unamlalamikia mwanaume mwenzako kuto kukutumia luku?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mbona simdai mzee then tunataniana tu hapa alitaka anitumie lakin kaghafirisha na uzi unasema unafanya nini saizi namimi nmetoa updates ya ninachofany now so ni kufurahishana tu mkuu ili tuuvuke usiku huu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
sawa mkuu ncje shawishika kuovuta sasa hebu niambie ina mzuka gan hio kitu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
We piga mzee baba ila siku ya kwanza jaribu kujifungia ghetto maana reaction yake haziwi sawa kwa watu wote.

Unaweza moka ukashangaa unacheka cheka tu kama fisi
 
Back
Top Bottom