JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimeona wale tuliokosa usingizi ama kustuka usingizini usiku mnene kuanzia saa saba na kuendelea tuambizane nini kimekukosesha usingizi au nini kimekustua usingizini na je unafanya nini muda huu!

Binafsi maisha ya upweke na ukosefu wa ajira unanitia mawazo saiz nmekaa nakunywa tu maji yangu ya kisima hapa angalau nmepiga safari za chooni mbili na kurudi hapa kwenye kochi...

Wengine ungeni tela!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi umesema TukUtane au tukItane hapa?
 
Walinzi hamjambo? Wangapi mmekuwa na lindo jema leo? Barikiweni...

ee6c151f-7a83-4f14-bee8-814163fc9195.gif
 
Back
Top Bottom