Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Inakuaje mkuu
Upo mzee mwenzanguInakuaje mkuu
Nipo bablai. Lindo limeanzaUpo mzee mwenzangu
Chaliiii
mguu pandeee
mguu sawaaaa
Mbele tembeaaa, kila mtu akae kwenye lindo lake.
WozaaChaliiii
Niaje?Wozaa
Nipo bablai. Lindo limeanza
Hahahaha asee unajua ilikua suprise kwanza nimeshangaa kuona uzi nika mind kiaina kuwa jana tupo lindo ila hata kututonya hujataka kabisaMambo yako salama. ...nikajua utanipitishia zawadi. ...


Yechu tuNiaje?
Kwema ndugu yangu?Mambo yako salama. ...nikajua utanipitishia zawadi. ...
Hahaha kumbe ilikuwa b day yake jana??Hahahaha asee unajua ilikua suprise kwanza nimeshangaa kuona uzo nika mind kiaina kuwa jana tupo lindo ila hata kututonya hujataka kabisa![]()
Kusema ukweli nilisahau. ...Hahahaha asee unajua ilikua suprise kwanza nimeshangaa kuona uzo nika mind kiaina kuwa jana tupo lindo ila hata kututonya hujataka kabisa![]()
Eehh nikajua wanakamati mnalifahamu hilo!Hahaha kumbe ilikuwa b day yake jana??
Acha tum wish leo hapa na mizawadi kedekede
Acha hizo....Hahaha kumbe ilikuwa b day yake jana??
Acha tum wish leo hapa na mizawadi kedekede
Hapana,wala sikuwa nalifahamu hili mzeeEehh nikajua wanakamati mnalifahamu hilo!
Salama ndugu. ...nashukuru sana.Kwema ndugu yangu?
Habar ya uzima
Usihofu ingekuwa tulitegemea hapo kidogo lazima tingekuwa wakali ila kama kila kitu kimeenda poa ni jambo jema. Maisha marefu sana kwako.Kusema ukweli nilisahau. ...
Nimefanya kukumbushwa...
Uzeee mbaya huu....
Shukrani wanalindo wenzangu kwa kunitakia heri. ..ingawa keki nimewanyima. ...