Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,545
- 81,368
Hahaha hilo usiwaze kabisa. Utaimanya vizuri tuNaomba ukiwa off na mimi niende....ukanifundishe ile lugha yetu
Hahaha hilo usiwaze kabisa. Utaimanya vizuri tuNaomba ukiwa off na mimi niende....ukanifundishe ile lugha yetu
Hiyo safi kupitishia usiku lindo litoboe
Mtoto wa kike huruhusiwi,sababu kuna kikombe kimoja mtindo wetu leo ni kama wa wanywa mbege,kombe ni moko tu,linazungushwa.
Oohhh....sawa nimekuelewa
Hahaha hilo usiwaze kabisa. Utaimanya vizuri tu
Sawa sawa!Hakija haribika kitu. ...tuko pamoja bado
Hahaha hilo gahawa la hivyo ni kwerekwecheMtoto wa kike huruhusiwi,sababu kuna kikombe kimoja mtindo wetu leo ni kama wa wanywa mbege,kombe ni moko tu,linazungushwa.
Sijawahi kusikia kama zipo za aina hiyoSwali la msingi. Hivi zipo ambazo hazinaga sukari?
Hahaha, we wa mgomba kumbeKiruuuu
Hahaha sawa mkuuLeo hakuna kashata,si unajua kashata ya usiku haina mbwe mbwe.
Wazitengeneze tu hizo itakua poa sanaSijawahi kusikia kama zipo za aina hiyo
Hapana. ...najifunza kote kote. ..ila kahawa nimechuma piaHahaha, we wa mgomba kumbe
Dah asee hujakutana na chameleon?Hapana. ...najifunza kote kote. ..ila kahawa nimechuma pia
Yoooo nawaogopa....Dah asee hujakutana na chameleon?
Hahaha hawana shida, kwenye zoezi hilo la kahawa lazima ukutane nao sana. Mimi huwa nawaweka kwenye mfuko wa shati.Yoooo nawaogopa....
Dah nimejitahidi ila naona naumwa kichwa [emoji23]Kuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.
Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.
Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
Dah nimejitahidi ila naona naumwa kichwa [emoji23]