Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Tutakuwa wote. ...Utaeza chanja veve?
Tutakuwa wote. ...Utaeza chanja veve?
Unakuta wote wanaofany doria ni watumiaji, sasa wakikukamata kwanza wanaamini unao mzigo wa kutosha, na wakikosa lazima wakusumbue sana na pesa juu ukikosa kila kitu na ukawa mpole kuomba radhi kubali kupelekwa mbali na hom tu, bora ivo kuliko wakakurundike aysee.Kitu moja jamaa walikua wananirusha handas ni wakikudaka wanakunyang'anya veve yako na machanjio alafu wanaanza wao kuchanja kitu yako.
Alafu wanakuweka kwenye pira wanazunguka na wewe mpaka usiku mida kama hii wanakusachi hawakuachii hata tenga ndio wanaku dump mfano wamekutoa mbauda unaeza kuwa dumped hata ngaramtoni
Mapai/Mamwela =Ma Askari
Tukiwa Nai tunaita Karau
Hamna ndio njaro zao hizo. Dawa yao ilikua tukiwa fasi tunachanja miti tunakaa kwa formation hatukai kiree.Dah,wanaweza kuwa waliona wapo mitaa ile ile,,handasi tena


Hahaha yechu tu mamalai hainaga njeveTutakuwa wote. ...
Haha karbu tenaAsante Chalii yangu
FitiHii nakamata. ...
Hapana nilimaanisha kua toka muda ule unaniuliza maswali sijakuona tena so nimekumissWamaswali niko next door???
Ukiitamka 'chaliangu' ndio inasound enyewe OGAsante Chalii yangu
Hahaha yechu tu mamalai hainaga njeve
Ukiitamka 'chaliangu' ndio inasound enyewe OG
Handas - high effect (stim) unapata ukichanja (ni mild tu)Handasi=
Bakta=
I was out of question. ..mengine nikikumbuka....Hapana nilimaanisha kua toka muda ule unaniuliza maswali sijakuona tena so nimekumiss
Sawa iko
Uko fiti tubonge sheng?Oyoo acha nikusome vyenye wataka
Handas - high effect unapata ukichanja
Bakta - town
Uko fiti tubonge sheng?
Fiti, hamna mbaya.Ishaisha maneno ingine sijakamata
UsiwazeTeh teh...Haki u mbaya....naweka kitako sasa nichukue darasa