Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,924
Hapa boda hii kitu inamaliza watz mana wanasaga kwa kujiachia sana, akiingiza mguu upande wa tz anakuwa yuko sawa hata polisi anamuona kama mtoto ake.
Hapa boda hii kitu inamaliza watz mana wanasaga kwa kujiachia sana, akiingiza mguu upande wa tz anakuwa yuko sawa hata polisi anamuona kama mtoto ake.
Yap,,unaitaka bro?Hiu kitu napata wapi?? A town
Hahaha chalii ya R siezi anya kiwaki kiivyoUsikimbie. .
Nakutania
Nzurii eti muda huu nishakumiss dadaZa Kwako kaka?
Chalii?Hiu kitu napata wapi?? A town
Usimpe!Yap,,unaitaka bro?
Naitaka bro nipatieYap,,unaitaka bro?
Hahaha wabongo sisi shida tupu,akivuka ile boda anakuwa anasaga tena anachambua jani moja moja kama anakuwa anamuoneshea askari vile,akimaliza kila kitu anavuka boda anarudi bongo na wenge lake askar anakuwa hana la kumfanya hahahahHapa boda hii kitu inamaliza watz mana wanasaga kwa kujiachia sana, akiingiza mguu upande wa tz anakuwa yuko sawa hata polisi anamuona kama mtoto ake.
Hamna kitu bana hainaga hizo njaro za kiwaki. Labda ukute mtu kashamoka shada yake we unajua ni handas ya veveHapa boda hii kitu inamaliza watz mana wanasaga kwa kujiachia sana, akiingiza mguu upande wa tz anakuwa yuko sawa hata polisi anamuona kama mtoto ake.
Naamu?Chalii? Usimpe!
HahaChalii? Usimpe!
Sema ubaya wake ni kujisahau tu. Unaeza vuka huku una taxima shavuni mapai wanakudaka kama kukuHahaha wabongo sisi shida tupu,akivuka ile boda anakuwa anasaga tena anachambua jani moja moja kama anakuwa anamuoneshea askari vile,akimaliza kila kitu anavuka boda anarudi bongo na wenge lake askar anakuwa hana la kumfanya hahahah
Yani polisi wanakuona kabsa lakini hawezi kukwambia kitu kabsa, na akiingiza mguu tz anatema na kujipangusa alaf anampa hai Oss wa osbp maisha yanaendeleaHahaha wabongo sisi shida tupu,akivuka ile boda anakuwa anasaga tena anachambua jani moja moja kama anakuwa anamuoneshea askari vile,akimaliza kila kitu anavuka boda anarudi bongo na wenge lake askar anakuwa hana la kumfanya hahahah



Hahaha acha mzee,hyo huwa ni noma sana,halaf mapai wanakuwa wamekuchora muda mrefu tu,wakat huo ushahandsika huna habar unashanga mbele yako haoSema ubaya wake ni kujisahau tu. Unaeza vuka huku una taxima shavuni mapai wanakudaka kama kuku
HahahaNaitaka bro nipatie
Sema askar huwa wanawataman sana,wanakuwa hawana cha kufanya tuYani polisi wanakuona kabsa lakini hawezi kukwambia kitu kabsa, na akiingiza mguu tz anatema na kujipangusa alaf anampa hai Oss wa osbp maisha yanaendelea![]()
Nilisha save ambush mingi sana bakta za mapai. Noleji ya mtaa inasave sana, ni kuibuka chocho kwa chocho wiuwiu hawakunyaki kisoro.Hahaha acha mzee,hyo huwa ni noma sana,halaf mapai wanakuwa wamekuchora muda mrefu tu,wakat huo ushahandsika huna habar unashanga mbele yako hao
Yan we jisahau tu uingie na kajani kwenye mfuko wa shat kamejishikiza bahat mbaya mbona utaeleza na pesa utatoboka nyingi tu.Sema askar huwa wanawataman sana,wanakuwa hawana cha kufanya tu
Hahahah unajikuta umeshazama mjengoniNilisha save ambush mingi sana bakta za mapai. Noleji ya mtaa inasave sana, ni kuibuka chocho kwa chocho wiuwiu hawakunyaki kisoro.
Sana mzee,utajutaYan we jisahau tu uingie na kajani kwenye mfuko wa shat kamejishikiza bahat mbaya mbona utaeleza na pesa utatoboka nyingi tu.