JamiiForums Usiku wa manane
Yan we jisahau tu uingie na kajani kwenye mfuko wa shat kamejishikiza bahat mbaya mbona utaeleza na pesa utatoboka nyingi tu.
Kitu moja jamaa walikua wananirusha handas ni wakikudaka wanakunyang'anya veve yako na machanjio alafu wanaanza wao kuchanja kitu yako.

Alafu wanakuweka kwenye pira wanazunguka na wewe mpaka usiku mida kama hii wanakusachi hawakuachii hata tenga ndio wanaku dump mfano wamekutoa mbauda unaeza kuwa dumped hata ngaramtoni
 
Kitu moja jamaa walikua wananirusha handas ni wakikudaka wanakunyang'anya veve yako na machanjio alafu wanaanza wao kuchanja kitu yako.

Alafu wanakuweka kwenye pira wanazunguka na wewe mpaka usiku mida kama hii wanakusachi hawakuachii hata tenga ndio wanaku dump mfano wamekutoa mbauda unaeza kuwa dumped hata ngaramtoni
Duh,,mbauda hadi ngaramtoni??sema nn wanakuwa wamekusave maana wakisema wakomae na ww,ukienda ndani pesa yake si ya kitoto bro
 
Back
Top Bottom