Aisee,,ngoja wataalamu wa mambo ya ndoto waje mkuu,,hope watakusaidiaWakuu nimeamini kulala huku shingo inatizama juu sio (kulala chali) yaani hapa natetemeka mpaka Figo nimeota ndoto mbaya nimestuka bado nalia tu
Mkuu,,jarbu kuwa unasali kabla ya kulala,huwa inasaidia pia ndoto za dzain hyo kutokutokeaNimeota mama yangu amengatwa na nyoka sijui nimpigie simu ila usiku huu nitamstua na presha.
Asante mkuu kwa ushauri yaani nimeogopa sana.Mkuu,,jarbu kuwa unasali kabla ya kulala,huwa inasaidia pia ndoto za dzain hyo kutokutokea
Pole sana mkuuAsante mkuu kwa ushauri yaani nimeogopa sana.
Asante mkuu hapa nimefungulia Quan nasikiliza na kusoma yaani mimi ndoto bora niote mbaya ina nihusu mimi sio mama huwaga akili ina chukulia kama ni kweli vile Sina raha kabisaaa.Pole sana mkuu
00:23
Mlinde salama
Dada Angu Tutakupa TuzoAlayka salam Mwambie tunampenda azidi kukupenda na wewe kaka etu.
Ah,kumbe ni muslim uwe unasoma hata surat Al-FatihaAsante mkuu hapa nimefungulia Quan nasikiliza na kusoma yaani mimi ndoto bora niote mbaya ina nihusu mimi sio mama huwaga akili ina chukulia kama ni kweli vile Sina raha kabisaaa.
Dada Angu Tutakupa Tuzo
Ah,kumbe ni muslim uwe unasoma hata surat Al-Fatiha
Tuko likizoWalinzi wenzangu inaonekana kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka mnalala saba badala ya kuimarisha sana lindo