JamiiForums Usiku wa manane
Si ndio mdogo wangu mduchu mduchu ,we nawe umepata dada ata kuwaringishia huwaringishii.
Ha ha ha sawa dada angu,,nmefurahia kusikia hvyo btw hlo jina la baby brother nmelipenda

Hv posa kujibiwa huwa inakaa baada ya muda gan??mf mtu kapeleka posa ile posa inajbiwa baada ya muda gan,,ikiwa tyl yule bnt kashaongea na wazaz wake
 
Ha ha ha sawa dada angu,,nmefurahia kusikia hvyo btw hlo jina la baby brother nmelipenda

Hv posa kujibiwa huwa inakaa baada ya muda gan??mf mtu kapeleka posa ile posa inajbiwa baada ya muda gan,,ikiwa tyl yule bnt kashaongea na wazaz wake

Haina muda maalum inaweza chukua hadi wiki.

Usiniambie umeenda kuposa baby brother niendae abaya Na oud kwa ajili ya wifi yangu.
 
Vp kama ikichukua hadi miez miwl kimya tu,,ila binti yy hana neno kwako

Ha ha ha ngoja kwanza tujibiwe lovly sister

Itakua kuna process wanafanya,mara nyingi ikichukua mda wengine huwa wanachunguza kwanza mposaji ndio wakubali.

Jibu lazima upewe kama wamekubali au lah,vuta subra.

InshaAllah Allah akujaalie kheir Baby brother.
 
Itakua kuna process wanafanya,mara nyingi ikichukua mda wengine huwa wanachunguza kwanza mposaji ndio wakubali.

Jibu lazima upewe kama wamekubali au lah,vuta subra.

InshaAllah Allah akujaalie kheir Baby brother.
Ah,kumbe huwa hvyo,,bhasi sawa sister

Nashukuru kwa busara zako

Tuseme InshaAllah,,,na iwe hvyo
 
Back
Top Bottom