JamiiForums Usiku wa manane
Mzee Malcom Lumumba toka serikali izingue ishu ya mafao isiku hizi unashindwa kuingia jf maana kiharusi na kisukari vilikupanda gafla..
Hahahahahaha, bwana mdogo taratibu bwana.
Mimi asilimia 24 ya mafao yangu ni mishahara yako siyo chini ya 100.
Halafu siwezi kufa njaa mjini kwasababu nimesomesha watoto wangu , naamani watanitunza tu!
 
Hahahahahaha, bwana mdogo taratibu bwana.
Mimi asilimia 24 ya mafao yangu ni mishahara yako siyo chini ya 100.
Halafu siwezi kufa njaa mjini kwasababu nimesomesha watoto wangu , naamani watanitunza tu!
Ahhh wacha zako mzee juzi tu kiharusi kilikua kimekukamata ajili ya stress ya mafao na nasikia unaonekeana viunga vya mashamba ya mtibwa kupakia miwa upate japo chochote kumalizia uzee wako. au unataka niseme siri ya kuweka hiyo picha as avatar..?
 
Beautiful Of Mathematics...
may your soul rest in Peace great thinker Aryabhata
Life-and-works-of-Aryabhata.jpg
 
Back
Top Bottom