Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,154
- 137,162
What’s happening...
Best, naona umeamua kunitupia dongoYou’re not depressed. you just don’t have any money.



Have money first, then decide if you're depressed or not.Best, naona umeamua kunitupia dongo![]()
Kiongozi kwema
Nyie viumbe hivi mnajua kama nimewamiss?Kwema kabisa

Nimeshapanga, njoo unipangie zamu yanguHebu pangeni foleni niwapangie zamu zenu leo
Mie bhuheri wa afya, nimekuhamMzima hofu kwako dear

I too wanna go PM with You, make a way.Mwaga tu!
Okay wacha tubakie hapa utatukuta!Nitarudi kufunga mageti
Tatizo ni hiyo lugha yako mzee babaI too wanna go PM with You, make a way.



Unaniachaje mnyantuzu wanguNitarudi kufunga mageti

Tafuta hela ila ukizipata tunakuomba usipige nazo picha..Tunatanguliza shukrani..


Nimeipenda hiyoNimekuona ukinijibu siamini kama ni tatizo,Tatizo ni hiyo lugha yako mzee baba![]()