capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
“Stop hating on people during their winning season cause you don’t know what or how much they lost during their losing season”
Basi nami nawaacha mulale.holiday imeanza my dear acha tulale.
The last Man Stand!
Wapi naweka funguo, muda wa kulala sasa.
Niko Itumbi Hotel magomeni nasimamia show hakuna kulala.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Mimi zaidiMie bhuheri wa afya, nimekuham![]()

Niko Itumbi Hotel magomeni nasimamia show hakuna kulala.
Hao ni kombaUsingizi umekatika baada ya mapaka mawili kuja kulilia dirishani kwangu, nimeyafukuza sahv yapo kwa jirani nasikilizia kwa mbali. Yanalia kama watoto
Daaah! Kumbe, kweli mji umeingiliwa.Hao ni komba
Show isiyokuwa na mapumziko hiyo sio show ni vurugu lazma muda mwingine usalimie mashabikiMkuu hiyo show itakuwa ya kiwango cha chini, nguvu muda wa kushika simu na kupost humu umeutoa wapi?
Pole sana mkuu, Mungu akupe wepesi kwenye kipindi hiki kigumu kwako.Wakuu nimeondokewa na Dada yangu. R. I. P Dada mkubwa...
Duh pole Sana Sana aiseeeeWakuu nimeondokewa na Dada yangu. R. I. P Dada mkubwa...
Ahsante sana.Duh pole Sana Sana aiseeee