Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Mimi wala simjui kabisa walah,Nyie bhana siwawezi mnajuana wenyew...msituzuge apa
Mimi wala simjui kabisa walah,Nyie bhana siwawezi mnajuana wenyew...msituzuge apa
Hivi si ulisema unaota wewe nahisi hiyo itakua sehemu ya ndoto.Utanimiss vipi wakati tunalala wote na kuamka wote kila siku?![]()
Amen! Halafu kweli....ngoja nikae mkao wa kumpokea huyu mwana JF nimependae kwa dhati
Majuu ni huko kwenu kaskazini au hujui kama pako juu kutokana na milima ya huko?![]()

Shari ya nini wakati itaonekana ni ajali kazini, we twen'zetuHa hah
Huogopi Shari wewe eenh.?
Naskia wanasubiri ndege ya moja kwa moja Lesotho to Mtwara.Hivi watu wenu bado tu hawajaingia nchini?
Niseme au niandike?Sema haki....

Bora wamejiongeza kabla ya kurapishwa mamilioni waliyopewaNaskia wanasubiri ndege ya moja kwa moja Lesotho to Mtwara.
Hii ni mara yako ya ngapi unanikana?Mimi wala simjui kabisa walah,

Hajali kwa wasionifahamu, ndugu zake woote wananifahamu! Na hiyo ndo shari yenyeweShari ya nini wakati itaonekana ni ajali kazini, we twen'zetu
Fanya vyote, kusema na kuandikaNiseme au niandike?![]()

Amen! Halafu kweli....ngoja nikae mkao wa kumpokea huyu mwana JF nimependae kwa dhati
Mimi nitakuwa bodigadi wako usijali, we twende ukamkomesheHajali kwa wasionifahamu, ndugu zake woote wananifahamu! Na hiyo ndo shari yenyewe
Najua wivu huna ila karoho kanakuuma...haya mimi naenda zangu kulala tutaonana kesho kwenye maakuli ya Maulid![]()
![]()
![]()
Endelea kusubiri senti tano uliyofukia mahali iote.
Hii ni mara yako ya ngapi unanikana?![]()