JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu natumia haya majiko kwa mwaka wa nne sasa sijawahi kujuta, ninali linapika masaa 2-3 kila siku na ninatumia umeme wa elf9 tu, japo nachanganya na gass pia. Baada ya kuona uzuri wa haya majiko ikabidi niwe mjasiriamali nikayafuata china na sasa nayauza kwa gharama ya 150,000/= tu bila gharama za usafiri, natuma mikoa karibu yote. Nipo Musoma. Wasiliana nami kwa namba 0782183441 whatsap pia nambi hiyohiyo
IMG_20181009_163649.jpeg
IMG_20181019_165604.jpeg
 
Mkuu natumia haya majiko kwa mwaka wa nne sasa sijawahi kujuta, ninali linapika masaa 2-3 kila siku na ninatumia umeme wa elf9 tu, japo nachanganya na gass pia. Baada ya kuona uzuri wa haya majiko ikabidi niwe mjasiriamali nikayafuata china na sasa nayauza kwa gharama ya 150,000/= tu bila gharama za usafiri, natuma mikoa karibu yote. Nipo Musoma. Wasiliana nami kwa namba 0782183441 whatsap pia nambi hiyohiyoView attachment 939861View attachment 939862
Kama Musoma unaliuza 150,000 basi kwa huku dar litakua 90,000 mpk 120,000.
 
Back
Top Bottom