JamiiForums Usiku wa manane
Alaah kumbe, ila ujue vijichenji navyo hela?
(Nimemkumbuka yule mjane aliyetoa shekeli mbili na akapata kibali mbele za Mungu kuliko matajiri)
Kwa nyakati zile hizo shekeli mbili zilikuwa na thamani au umesahau kuwa ulilipa mahari senti tano tu na ukaonekana kidume miaka ile ila si kwa sasa!
 
Kweli hiyo mbege ya leo imekulewesha vibaya, wenzio wanachezea mshahara wewe unachezea kazi. Shauri yako ukitumbuliwa usirudi huku maana tusio na ajira ni wengi
Tokaa na hawa jamaa zako wenye pua za kugusa ugali wamenichosha. Wanaanza kutuuliza kama nchi yetu imeruhusu wazungu kugombea U prezidaa eti wanafikiri Magu ni Muingereza!
 
Kwa nyakati zile hizo shekeli mbili zilikuwa na thamani au umesahau kuwa ulilipa mahari senti tano tu na ukaonekana kidume miaka ile ila si kwa sasa!
Tafadhali usinizeeshe kiasi hicho, mimi bado kijana mbichi kabisa, tena nikivaa unifomu bila hata kitambulisho nalipa 200.
 
Back
Top Bottom