JamiiForums Usiku wa manane
Uzuri wanguu wa kuzaliwa naoooo! Pesaa ninayoo ya kutumiaaaaa! Gari la kutembeleaaa ninalooo! Nyumba nzuri ya kulalaa ninayooooo!...... Wellah! Wellah! Zungusha mbegeee hadi iimbe tumboniiiiii!!!!! Yaani kuwa na genge la walinzi ka nyie raha sana. Nitaishi hadi miaka iniombe poooo!

Chepeo kwa chepeo naona hiyo mbege watakua wamechanganya na ugoro kidogo.
 
Uzuri wanguu wa kuzaliwa naoooo! Pesaa ninayoo ya kutumiaaaaa! Gari la kutembeleaaa ninalooo! Nyumba nzuri ya kulalaa ninayooooo!...... Wellah! Wellah! Zungusha mbegeee hadi iimbe tumboniiiiii!!!!! Yaani kuwa na genge la walinzi ka nyie raha sana. Nitaishi hadi miaka iniombe poooo!
kwa hilo beleshi angalia usizidishe ulezi ,
ukaumaliza wote,,mtaji ukafa
 
Yaani bosi wangu anapua ndefu hiyo. Keshanusa eti nachezea kisimu jamani. Wee bosi hujui home sasa hivi ndo mida tunalinda wasimnahii yule tajiri wetu.. Hebu niache kidogo bhana!!! ... Kwanza kwetu barafu ziko kwenye friji siyo kama kwenu hata nje tu eti ni sehemu ya kutunzia nyama! ....
 
Kwa mujibu wa pua zangu huyu hana pesa ila inavijichenji tena vya kubangaiza bangaiza
Alaah kumbe, ila ujue vijichenji navyo hela?
(Nimemkumbuka yule mjane aliyetoa shekeli mbili na akapata kibali mbele za Mungu kuliko matajiri)
 
Yaani bosi wangu anapua ndefu hiyo. Keshanusa eti nachezea kisimu jamani. Wee bosi hujui home sasa hivi ndo mida tunalinda wasimnahii yule tajiri wetu.. Hebu niache kidogo bhana!!! ... Kwanza kwetu barafu ziko kwenye friji siyo kama kwenu hata nje tu eti ni sehemu ya kutunzia nyama! ....
Kweli hiyo mbege ya leo imekulewesha vibaya, wenzio wanachezea mshahara wewe unachezea kazi. Shauri yako ukitumbuliwa usirudi huku maana tusio na ajira ni wengi
 
Back
Top Bottom