JamiiForums Usiku wa manane
Uzuri wanguu wa kuzaliwa naoooo! Pesaa ninayoo ya kutumiaaaaa! Gari la kutembeleaaa ninalooo! Nyumba nzuri ya kulalaa ninayooooo!...... Wellah! Wellah! Zungusha mbegeee hadi iimbe tumboniiiiii!!!!! Yaani kuwa na genge la walinzi ka nyie raha sana. Nitaishi hadi miaka iniombe poooo!
Mkuu hayo uliyoyasema kuhusu pesa, nyumba na gari ni ya kweli au unaturusha tu roho watoto wa wanaume wenzio?
 
Back
Top Bottom