
Njoo tulale wote ili tuufupisheUsiku mrefu ukiwa peke yako daah![]()

Sitaki msaada wako my dia Sam najua kwa kumpata kwanza unapata wapi ujasiri wa kutamani kuwa wifi yangu hiviNdio maaa nimeomba msaada wako maana najua mwenyewe simuwezi. Ukinisaidia kwake nami nitakusaidia kumpata kirahisi huyo Sam wako![]()
Njoo tulale wote ili tuufupishe![]()
Usicheze na nguvu ya penzi, mahaba, malavidavi....moyo wangu umemdondokea pacha wakoSitaki msaada wako my dia Sam najua kwa kumpata kwanza unapata wapi ujasiri wa kutamani kuwa wifi yangu hivi

Nawe piaNimepita kuwaaga usiku mwema.
Kwani wao waweze wana nini na mimi nishindwe nina nini?Hmm!! Asante Ila utaweza kweli

Amekataa amesema hujatulia etiUsicheze na nguvu ya penzi, mahaba, malavidavi....moyo wangu umemdondokea pacha wako![]()
Kwani wao waweze wana nini na mimi nishindwe nina nini?![]()

sawa nakuja angalau nipate nafuu huu msemo wako umenikumbusha mbaliSitaki kabisaa bora nibakie sina wifiNdio kusema hutaki kabisa niwe wifi yako ama?![]()
Amekataa amesema hujatulia eti

Ukisikia fungu la kukosa ndio hili. Haya bwana ngoja nikauguze MOYO wangu

Ukisikia fungu la kukosa ndio hili. Haya bwana ngoja nikauguze MOYO wangu
![]()
Ukisikia fungu la kukosa ndio hili. Haya bwana ngoja nikauguze MOYO wangu
![]()