Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kazi yangu ya kuamsha amsha walinzi nimeimaliza...tukutane kesho tena tukijaliwa. Good night fellas...
View attachment 905518
Asante mkuu, leo energy yako ilikuwa ya ukweli.
Kazi yangu ya kuamsha amsha walinzi nimeimaliza...tukutane kesho tena tukijaliwa. Good night fellas...
View attachment 905518
Lugha gani hii mkuu? Sikupati
Sh = SwahiliMida hii mkuu, tunabembea saa hizi. Kanda ya ziwa ila ni sheng
Sh = Swahili
Eng = English
Kweli huo ni mchanganyiko wa Kiswahili na Kiingereza? Anyway; sijawahi kuisikia na bila shaka ni lugha yenu vijana..
Wote mmeshalala nafunga geti
Pambana na hali yakoLeo sijui itakuwa kama jana!macho makavuu...

Usipojiona kwenye hiyo list tambua kuwa upo kwenye 'right track'Ambao hatujatajwa kwenye hiyo list unatuitaje?

Umeanza lini hii tabia ya uchochezi?Mmeshapita kukagua gymkana?
Na wewe mtengenezee list, akiamka ahangaike nayo.
Mkuu .kanisikitisha sana kesho nitamchana live
Kweli hapa sina mke,amenikana adharani mbele ya member wote
Au ndio inaweza kuwa waume wenyewe wa kwelikwelii ndio maana privacy imezingatiwa.
Kuna mawili: Ama nyie ndiyo (potential) waume au mmesahaulika![]()
Mbona mnakazana kuchochea kuni mbichi?Hata mimi nimeshangaa sana. Bahati nzuri nimekuta keshakimbia otherwise ningemuuliza. Sina uhakika kama una mke hapo![]()

