Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Morning chief!Good morning
Morning chief!Good morning
Ngoja tu nirudi zagu najua sitakuta kitu hapo![]()
![]()
![]()
umejuaje

Njoo tu mana huu ugali ni mgumu sana tonge 7 ukiinuka basi we mwanaume wa shoka so wewe njoo tu usirudNgoja tu nirudi zagu najua sitakuta kitu hapo![]()
Ndo nini?Copa Cabana mtwara (Gas city)
Mmmh! Umeiva kweli huo? Usijenivurugia tumbo langu!Njoo tu mana huu ugali ni mgumu sana tonge 7 ukiinuka basi we mwanaume wa shoka so wewe njoo tu usirud

Saa yako imepoteza majira chief
Mimi nimetekwa juzi juzi tu humuwewe unaugulia na lipi?
.. Naomba sana mungu aniepushie machungu

wanaume wa mkoani hawalembi wakiingia jikoniMmmh! Umeiva kweli huo? Usijenivurugia tumbo langu!![]()
Bila shaka aliyekuteka hatakutelekeza pasipo kutimiza azma yakeMimi nimetekwa juzi juzi tu humu.. Naomba sana mungu aniepushie machungu
![]()
Ombi langu. Azma yake iwe ya mileleBila shaka aliyekuteka hatakutelekeza pasipo kutimiza azma yake

Kila la heri, ila usipuuze ushauri wa bure alioutoa mdau wa kuongeza mkeOmbi langu. Azma yake iwe ya milele![]()
Mateka hana kibali cha kuamua hatma yakeKila la heri, ila usipuuze ushauri wa bure alioutoa mdau wa kuongeza mke
Lazima itolewe order kwanza ndio aitekelezeUsijali ndugu.. ulinzi ume imarishwaMuniombee sana ndugu zangu kuna Nissan ilikua inanifuata kwa nyuma wakati naelekea home, sijui wanataka nini hawa au walikua wananilinda nifike salama?. shukrani ziende kwao
