Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Asante...
Ni avatar bora kuliko zote hapa JF. Ungesema una mpango wa kuibadilisha ningeandamana![]()



Nilikujulia ugonjwa wako huu na nikasema kwaajili ya shimba ya buyenze hii avatar itabaki milele
Asante...
Ni avatar bora kuliko zote hapa JF. Ungesema una mpango wa kuibadilisha ningeandamana![]()



Kwanini sasa?![]()
![]()
![]()
Nimecheka lakini kicheko kilichochanganyikana na hasira.
Pole ya kukeshaYa nini
Thad tutafsilie basi me mwenyewe nimepaotea hapo tu
Huku salama. Tumshukuru Mungu mpendwa![]()
endelea kutuwekea wakina Thad watusindikizie usiku huuEwaaa ngoja niichukue hii kuwa avayar yangu ili niwarushe roho wanaume wakware

Asante sana...
Nilikujulia ugonjwa wako huu na nikasema kwaajili ya shimba ya buyenze hii avatar itabaki milele
Jamaa anasema hivi;
Ole wao wageuzao usiku kuwa mchana,
Ole wao walevi na wavuta bangi,
Ole wao wazinzi na wauaji,
Ole wao waongo na wazandiki
Kiitikio: Watakiona cha moto,
watakipata cha mtema kuni x2
ndio maana unasikitisha vilee mdundo wake jamaa kaimba vyema sana pongezi kwake
Sifa apewe Muumba kwa uumbaji wakeAsante sana...
Ugonjwa mzuri mwenyewe naupenda...
Uwezo wa muumba Aliyewaumba mpaka mkaumbika hivyo...
Thad mwenyewe si ajabu keshajiondokea kwenda kutimiza majukumu ya usiku.endelea kutuwekea wakina Thad watusindikizie usiku huu
Hallelujah,Kwa heshima yako mkuu
Nakaa kidogo
Hiyo ni tafsiri ya kweli au ni kamba tu za mfasiri?![]()
![]()
ndio maana unasikitisha vilee mdundo wake jamaa kaimba vyema sana pongezi kwake
![]()
Baada ya kusoma ulichoandika ..sina budi kulalaJamaa anasema hivi;
Ole wao wageuzao usiku kuwa mchana,
Ole wao walevi na wavuta bangi,
Ole wao wazinzi na wauaji,
Ole wao waongo na wazandiki
Kiitikio: Watakiona cha moto,
watakipata cha mtema kuni x2
Asante...
Ni avatar bora kuliko zote hapa JF. Ungesema una mpango wa kuibadilisha ningeandamana![]()
Kashatutafsiria ni mwema mno![]()
![]()
![]()
Kuliko huyo mtu anitafsirie bora nibaki na tongotongo langu.

Nishakutafsiria huko kaimbe![]()
![]()
![]()
Kuliko huyo mtu anitafsirie bora nibaki na tongotongo langu.
Yupo akiondoka naandamana leo ni zamu yake kufunga getiThad mwenyewe si ajabu keshajiondokea kwenda kutimiza majukumu ya usiku.
Sana, angekua mke wangu kila mwisho wa mwezi ningekua naenda kumlipia mahari upya.Unaheshima weye