JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Jamaa anasema hivi;

Ole wao wageuzao usiku kuwa mchana,
Ole wao walevi na wavuta bangi,
Ole wao wazinzi na wauaji,
Ole wao waongo na wazandiki

Kiitikio: Watakiona cha moto,
watakipata cha mtema kuni x2
[emoji23] [emoji23] [emoji31] ndio maana unasikitisha vilee mdundo wake jamaa kaimba vyema sana pongezi kwake[emoji122]
 
Back
Top Bottom